18+ PICHA 5 ZA MWANAFUNZI WA UHASIBU ARUSHA AKIFANYA MADUDU NA KIJANA FLANI,KUMRADHI WASOMAJI

Hivi karibuni Mwanafunzi anayejulikana kwa jina la JACKY anayesoma Chuo cha Uhasibu - ARUSHA amevuliwa nguo hadharani baada ya picha zake (hapo juu ) kusambazwa kwenye mitandao mbalimbali na mpenzi wake baada ya wivu uliompata kaka huyo , Wambea wa mji tumezinyaka hizi picha na habari toka kwa mmoja wa watu wa karibu wa wapenzi hao na kunyetisha kuwa Kaka huyo alifanya hivyo baada ya kugundua kuwa mpenzi wake JACKY sio muaminifu na anatoa penzi kwa mtu mwingine.
Angalizo
Haya wanafunzi mnaoenda kwenye mavyuo na kuanza kuiga staili mpya za maisha au kujifanya watu wa mjini sana mnadhalilisha wazazi wenu!!! wengine hela za kuungaunga halafu nyie mnaangukia huku? acheni kuiga mambo yasiyofaa mbona hatuna utamaduni wa kupiga picha za uchi ? jamani hizi simu zifungiwe tu hata kama utamu wa penzi ndio mpige picha zaa uchi? je wazazi wenu wakiziona watajisikiaje?





MWANAFUNZI MWINGINE APIGA PICHA ZA UCHI
Msichana aliyefahamika
kwa jina la Eliza akiwa katika picha za utupu alizopiga akiwa Hostel
moja iliyopo maeneo ya Kinondoni Mkwajuni ijulikanayo kwa jina la
Kipepeo.
Wanafunzi Lucy na Eliza wakiwa kwenye chumba wanachoishi.
Lucy akiwa kwenye pozi ya picha ya utupu .

Eliza akiwa kwenye picha ya pozi.

Eliza akiwa kwenye pozi ya picha ya utupu .


Lucy
Katika hali isiyokuwa ya kawaida
wanafunzi wa chuo kimoja ambacho hadi sasa hakijafahamika wamepiga picha
za utupu kwa lengo la kuwanasa wanaume wapenda ndono.
Tumezinasa picha hizo toka kwa chanzo chetu cha habari ambazo hazifai hata kutizamwa mbele ya jamii.
Habari zaidi juu ya picha hizo
inasemekana wanafunzi hao wanaishi wanatokea mkoani Arusha na wanasoma
moja ya vyuo vikubwa Jijini Dar na wanaishi maeneo ya Kinondoni Mkwajuni
kwenyhe nyumba ya wageni ijulikanayo kwa jina la Kipepeo.
Hata hivyo wanafunzi hao wanadaiwa
wanekuwa wakijihusishwa na vitendo vya ngono ya wazi wazi ndani ya
Hostel hiyo kiasi cha wanaume wengi hupanga foleni kupata hudumu.
Picha hizi zinazoonekana zilipigwa
mwishoni mwa mwezi wa kumi na mbili mwaka jana,ambapo mazingira ya picha
hizo inaonekana kulikuwa na watu watatu ndani ya chumba hicho ambapo
mmoja ilidaiwa alikuwa mwanaume.
Inasemekana mwaname huyo ambae alikuwa
amefika hapo kwa ajili ya kupata kiburudisho na baadae wasichana hao
waliomba kupigwa picha kwa ajili ya kuzirusha kwenye mtandao,ambapo
baada ya kupewa taarifa za kuwepo picha hizo maeneo hayo
ilifunga safari hadi maeneo ya Kinondoni Mkwajuni kwa ajili kupata picha
hizo za wasomi wetu wa baadae.
Hatimae waandishi wetu walifanikiwa
kupata cd ya video hiyo amba kuna picha mbaya ambazo kutokana na kulinda
maadili ya nchi yetu tumeshindwa kuzianika mbele hapo.
Hatukuweza kupata namba za simu za mabinti hao ili kujuwa kulikoni kufanya upuuzi huo na inaendelea kuwatafuta na kujuwa chuo wananchosoma siku mbili hizi tutakitaja chuo wananchosoma na kuongea na wahusika.
Hatukuweza kupata namba za simu za mabinti hao ili kujuwa kulikoni kufanya upuuzi huo na inaendelea kuwatafuta na kujuwa chuo wananchosoma siku mbili hizi tutakitaja chuo wananchosoma na kuongea na wahusika.
PICHA ZA UCHI ZA DENTI WA CHUO KIKUU HAPA NCHINI ZAVUJA MITANDAONI
MDADA MWENYEWE NI HUYU.
DENT mmoja katika Chuo Kikuu kimojawapo hapa nchini amepiga picha zisizo na maadili akiwa na njemba wake katika visiwa vya Zanzibar.
Mwanafunzi huyo alionekana kutumia muda wa masomo kufanya mambo yake hayo, na kilichowashangaza wengi kile kitendo cha yeye kutoka DODOMA mpaka ZANZIBAR ili kutimiza haja zake katika kipindi ambacho wenzake walikuwa katika masomo..
DADA HUYO NA NJEMBA WAKE WAKIENDELEA KULA RAHA.....
MWANAFUNZI WA CBE DODOMA AFARIKI
MAREHEMU RESTUTA MAYUMA
Ni
masikitiko makubwa kwa wanafunzi wa Chuo Cha Elimu ya Biashara (CBE)
kampasi ya Dodoma kwa kumpoteza mwanafunzi mwenzao Bi. Restuta Mayuma
ambaye alifariki tarehe 05/08/2013 (Jumatatu) mnamo mishale ya saa kumi
na moja jioni.
Hata
hivyo mwanafunzi huyo alikuja dodoma kwa lengo la kufaya mitihani yake
( katika kipindi hiki ambacho wanafunzi wa Chuo cha CBE wamekuwa
wakiendelea kufanya mitihani yao ya Special pamoja na ile ya
Supplimentary.
Marehemu
Restuta, Alikuwa anasoma Diploma , kozi ya Uhasibu (Accountancy) ,
ambapo alianza masomo ya Diploma mwaka wa masomo 2011/2012 na alitakiwa
kuhitimu Elimu yake ya Diploma mwaka 2012/213.Lakini kwa kipindi
hiki alikuja chuo kurudia mitihani yake ya Diploma I .
Akizungumza
na blog hii Rafiki wa karibu sana na Mwanafunzi huyo
(Marehemu Restuta) alisema Marehemu alikuwa anasumbuliwa na homa za
hapa na pale (Malaria) hali ambayo ilipelekea mpaka kutokea kwa kifo
chake.
Tayari
Mwili wake umesafirishwa leo kuelekea Mkoani Dar es salaam eneo la
BUNJU kwa ajili ya shughuli za Mazishi ambapo mwili huo umesafirishwa
na Gari la Chuo (CBE) Kwa kuambatana na WARDEN, Mashauri Machunde
(Mwanafunzi CBE) pamoja na baadhi ya ndugu wa marehemu waliokuwepo
mkoani Dodoma.
Akizungumza
kwa njia ya simu, Bw. Mashauri Machunde (Mwanafunzi CBE) amewataka
wanafunzi wote wa CBE wanaoishi jijini Dar es salaam kijitokeza katika
mazishi ya Mwanafunzi huyo yanayotarajiwa kufanyika kesho nyumbani
kwao "Bunju " Kwa kupanda magari yaendayo Bunju na kushukia eneo la
Bunju "A" kituo kinaitwa Shule au Hospital (Uliza kwa Mzee Mayuma karibu na Shule ya Sekondari Fanaka)
Mpaka
tunarusha habari hii hewani bado muda wa mazishi haujafahamika
(Endelea kutembelea Blog hii kwa ajili ya kupata Habari zaidi juu ya
msiba huo).
Mwanafunzi Wa UDOM Ajiuza Kwa Kuweka Picha Zake Za Utupu Facebook. Profile Yake Hii

Katika hali ya kushangaza msichana mmoja anaejiita Seche Mautamu ambae anajiuza kupita mtandao wa kijamii wa facebook kwa kuweka picha zake za utupu. Zifuatazo ni picha zake hizo na baada ya hizo picha utakuta link ya PROFILE yake ya facebook. Ukienda kwenye profile yake hiyo nenda kwenye About utaona AMESEMA anasoma UDOM! Kama ni kweli ni mwanafunzi wa UDOM then taifa letu lina tatizo kubwa kuliko tunavyodhani.

WANAFUNZI WA CHUO KIKUU WAJIPIGA PICHA CHAFU WAKATI WAKIFANYA MAPENZI
WANAFUNZI WA CHUO KIKUU WAJIPIGA PICHA CHAFU WAKATI WAKIFANYA MAPENZI
Wanafunzi watatu wa chuo maarufu nchini wametia aibu ya
mwaka baada ya kunaswa wakivunja amri ya sita huku wakijipiga
picha chafu za tukio hilo.
Kwa mujibu wa ripota wetu, tukio hilo la aibu linahusisha wanaume wawili na msichana mmoja aliyetambuliwa kwa jina moja la Fetty…..
Kwa mujibu wa ripota wetu, tukio hilo la aibu linahusisha wanaume wawili na msichana mmoja aliyetambuliwa kwa jina moja la Fetty…..

Katika tukio hilo la aina yake, Fetty anaonekana akigawa penzi kwa jamaa huku jamaa mwingine akiwapiga picha hatua kwa hatua…..
Kuvuja kwa picha:Picha hizi zinadaiwa kusambaa na kumfikia mpekuzi wetu baada ya wanafunzi hao kutofautina na hivyo kuamua KUTUBU DHAMBI HII kwa staili ya KUUMBUANA
MAKAHABA WAKICHAFUA CHUO KIKUU CHA UDOM

Ongezeko
la makahaba mjini Dodoma limeendelea kuwa kero kwa chuo kikuu
cha Dodoma na wanafunzi wake kwa ujumla....
Kero hiyo imekuwa ikisababishwa na baadhi ya makahaba hao kujifanya wanafunzi wa chuo hicho kwa lengo la kujiimarisha kibiashara...
Takribani miezi mitatu iliyopita, kahaba mmoja alinasawa na polisi mjini Dodoma akijiuza kwa kujinadi kuwa yeye ni mwanafunzi wa mwaka wa pili chuo kikuu cha Dodoma ..
Baada ya mahojiano ya kina na Polisi Central, ilibainika kuwa kahaba huyo hakuwa Mtanzania na hakuwa mwanafunzi wa chuo chochote hapa nchini na badala yake alikuwa ni raia wa Malawi.
Upekuzi wa polisi ulifanikiwa kunasa ARVs za kupunguza makali ya virusi vya UKIMWI toka kwa mwanamke huyo aliyekuwa akiendesha maisha yake kwa kuuza mwili wake maeneo ya Uhindini mkoani humo.
Mbali na ushahidi huo, mtandao huu umefanikiwa kumnasa binti mwingine anayejiita SECHE MAUTAMU...
Kero hiyo imekuwa ikisababishwa na baadhi ya makahaba hao kujifanya wanafunzi wa chuo hicho kwa lengo la kujiimarisha kibiashara...
Takribani miezi mitatu iliyopita, kahaba mmoja alinasawa na polisi mjini Dodoma akijiuza kwa kujinadi kuwa yeye ni mwanafunzi wa mwaka wa pili chuo kikuu cha Dodoma ..
Baada ya mahojiano ya kina na Polisi Central, ilibainika kuwa kahaba huyo hakuwa Mtanzania na hakuwa mwanafunzi wa chuo chochote hapa nchini na badala yake alikuwa ni raia wa Malawi.
Upekuzi wa polisi ulifanikiwa kunasa ARVs za kupunguza makali ya virusi vya UKIMWI toka kwa mwanamke huyo aliyekuwa akiendesha maisha yake kwa kuuza mwili wake maeneo ya Uhindini mkoani humo.
Mbali na ushahidi huo, mtandao huu umefanikiwa kumnasa binti mwingine anayejiita SECHE MAUTAMU...

Seche
ni binti aliyeamua kujiuza kupitia mtandao wa facebook kwa
kuwalaghai wanaume kwamba yeye ni mwanafunzi wa UDOM....
Hata katika profile yake, binti huyo ameweka wazi kuwa yeye ni mwanafunzi wa UDOM huku ukurasa wake ukipambwa na picha kadhaa za uchi.....
Kinachotia shaka ni kwamba, picha zote 25 zilizowekwa hazithibitishi moja kwa moja kwamba Seche ni mwanafunzi ama wa UDOM au chuo chochote cha Tanzania...
Picha zilizowekwa ni za gheto lake akiwa UCHI, hali inayotia shaka kubwa ya kukubaliana na uanafunzi wake wa UDOM....
Hata katika profile yake, binti huyo ameweka wazi kuwa yeye ni mwanafunzi wa UDOM huku ukurasa wake ukipambwa na picha kadhaa za uchi.....
Kinachotia shaka ni kwamba, picha zote 25 zilizowekwa hazithibitishi moja kwa moja kwamba Seche ni mwanafunzi ama wa UDOM au chuo chochote cha Tanzania...
Picha zilizowekwa ni za gheto lake akiwa UCHI, hali inayotia shaka kubwa ya kukubaliana na uanafunzi wake wa UDOM....

Ili kuupata ukweli wa mambo, mtandao huu ulizungumza na wanafunzi 10 toka chuoni hapo kwa nyakati tofauti..
Miongoni mwa wanafunzi tulioongea nao ni wale waliomaliza mwaka 2013, 2012 na 2011. Wanafunzi wote 10 wameshindwa kumtambua Seche na kudai kuwa huyo ni kahaba aliyeamua kuwachafua....
"Huyo siyo mwanafunzi, ni kahaba ambaye ameamua kutuchafua. Kama kweli ni mwanafunzi, mwambieni aweke japo picha moja tu akiwa katika mazingira ya chuo cha UDOM"...Alisema mmoja wa wanafunzi hao.
Kwa kipindi cha mwaka mmoja, mkoa wa Dodoma umekubwa na ongezeko kubwa la MALAYA wanaoishi kwa kuuza miili yao..
Miongoni mwa wanafunzi tulioongea nao ni wale waliomaliza mwaka 2013, 2012 na 2011. Wanafunzi wote 10 wameshindwa kumtambua Seche na kudai kuwa huyo ni kahaba aliyeamua kuwachafua....
"Huyo siyo mwanafunzi, ni kahaba ambaye ameamua kutuchafua. Kama kweli ni mwanafunzi, mwambieni aweke japo picha moja tu akiwa katika mazingira ya chuo cha UDOM"...Alisema mmoja wa wanafunzi hao.
Kwa kipindi cha mwaka mmoja, mkoa wa Dodoma umekubwa na ongezeko kubwa la MALAYA wanaoishi kwa kuuza miili yao..

Cha kushangaza ni kwamba malaya wote hujiita wanafunzi wa UDOM.Wakiulizwa kozi wanazosoma huishia kujiuma na kuwa wakali .