Jumatatu, 5 Agosti 2013

FEZA AKATA TAMAA YA KUBAKI BBA

usiku wa leo kutakuwa na eviction ndani ya
 jumba la BBA the chase lakini mshiriki na tumaini pekee
 kwa watanzania bi Feza Kessy tayari ameanza kuonyesha hali
 ya kukata tamaa kuendelea kubaki ndani ya jumba hilo  hili limejionyesha
 
Wakati akifua nguo zake bafuni, mrembo huyo alipewa
 kampani na Beverly na Elikem na kuwaambia kuwa haoni dalili kama atapona evicyion  yaleo.
“Hakika, kama nitapona eviction ya Jumapili hii itakuwa ni miujiza tu,” 
“Ni ngumu kwa wapenzi kwenye nyumba hii. Angalia kilichotokea kwa LK4 na Koketso. Wote walitolewa usiki mmoja. Nadhani kitu kile kile kinaenda kutokea kwetu.”alisema Feza