Ijumaa, 30 Agosti 2013

Rihanna Amdondoshea Bonge la Diss Demu wa Chriss Brown (Karrueche)


 Jana Rihanna na Binamu yake anayeitwa Lele walimDiss mwanadada Karrueche(Demu wa Chriss Brown) hii yote ilianza baada ya Karrueche kupost pic ya mwonekano wake mpya  Instagram (hapo juu kulia) .

Baadae Ikawa Hivi..
Binamu yake Rihanna akaichukua hio picha na kuipost tena Instagram Kama inavyoonekana hapo chini na kuiongezea maneno ya kuzidi kumDiss pa1 na kuweka Face emoticons za Ajabu ajabu.

Baadae wakaanza kurushiana Tweets kama Hivi....



Karrueche naye baada ya kusoma mchezo akajibu..

Rihanna naye akajibu hivi...


Usisahau Kutucheki Fb Bonyeza Hapa

Picha: Karrueche Tran na mtindo wa nywele wa twende kilioni... cute?

Ni mtindo wa kusuka nywele kwa wasichana (hata baadhi ya wavulana) uliozoeleka sana huku kwetu kwa jina la ‘twende kilioni’, japo huko Marekani, Ulaya na kwingine huitwa ‘Cornrows’.
Karru
Karrueche Tran mpenzi wa On/Off wa mwimbaji wa R&B Chris Brown kupitia Instagram ame-share picha akiwa amesuka ‘twende kilioni’ na kusababisha uzuri wake wa asili (bila makeup nyingi) uonekane zaidi bila chenga.
Ila tuache utani, Karrueche Tran is very cute, Breezy hakukosea!

Undicovered Ways to make your man feel like a MAN!…Try ‘em


black-couple-talking-couch
Making your man feel inadequate is the worst thing you can ever do to him and that is why men rarely forgive cheating. To most men cheating is the number one relationship deal breaker. Just like you, a man needs to feel loved, appreciated and also attractive and the only way you can make him feel that way is by giving him an ego boost every now and then. An ego boost will make your man a better man and in turn he will treat you right and when he treats you right you both end up in a very healthy relationship.
Below are little ways you can make your man feel like a man.
#Thank him for every little thing he does around the house and even for something as random as loving you or for putting up with you.
#Listen to him intently when he is explaining something to you and allow him to feel smart even though you are smarter than him.
black-woman-cooking-600x400
#Cook for him without making him feel like he is the reason you can never get anything done or like he is cramping your style. This will make him feel special. Wait on him, get him water  and even when visiting friends or family or at a barbeque, bring him a plate and make sure he is satisfied.
#Let him make the plans and take charge of directions as men like to feel like they are great at remembering directions. Even if he gets lost, do not make him feel like he’s the reason why everyone in the world gets lost and how much he sucks at giving directions .
african_american_couple_eating_at_restaurant_bld045764
#Allow him to take you to his fave restaurant and order for you. He probably likes the restaurant for a reason so for once just let him do his thing.
#Feel him, need him, appreciate him and enjoy being with him in the bedroom and always do that thing that he loves so  much. Give him full control and let him take all the credit for satisfying you and for making you glow.
wpid-woman-giving-a-massage
#Massage him after that long day at work and let him know how much you know he deserves a massage as he works really hard to provide for you and yours.
#Allow him to be a boy when he is with the boys.  Don’t call him out in front of his boys and remind him it’s his turn to do the dishes.
86532947
#Attend his events whenever he invites you and make an effort to look great. Give him a reason to be the envy of the ball and enjoy being his arm candy with pride.
#Don’t cheat on him or share private matters with your whole gang of friends.
#Compliment him. Tell him he looks great whenever he makes an effort to dress well.

5 misguiding sex tips that you probably shouldn’t try

whips-and-chains
Admit it . . . at some point, you read an interesting sex tip in a magazine and decided to try it out in the bedroom.  But things went horribly wrong.
But were you really that surprised?  You shouldn’t have been.  Magazine sex tips sound fun, but they rarely translate to real life.
To prove my point, here are five sex tips from “Cosmopolitan” magazine that you I think you  probably SHOULDN’T attempt:
1.) Cosmo suggests:  Find the male G-spot
According to “Cosmo”, the male G-spot is somewhere between a man’s GONADS and his NO-GO HOLE, and you should try exploring that area with your fingers in the middle of sex.
But there aren’t many guys who actually want you rooting around that area, especially without warning.  Besides, a guy’s G-spot is really easy to find.  It’s his MAN-JUNK.
2.) Cosmo suggests:  Have sex on the hood of a car
If your guy loves his car, he’s not going to want to risk denting or scratching it by having sex on top of it.  And if he doesn’t love his car, there’s a good chance he hasn’t washed it in a while and it’s filthy.  Either way, it’s a bad idea.
3.)  Cosmo suggests: Use grapes to pleasure your man
That you should put grapes in between your fingers before offering your man HAND RELEASE.  For the life of me, I fail to see how that’s supposed to make things feel better for him.  Am I missing something?
4.)  Cosmo suggests: Have sex with one leg on his shoulder
If you’re limber, there’s really nothing wrong with this move.  Just make sure you’re careful.  One misstep could result in serious injuries for both of you.
5.) Cosmo suggests:  Rub ice on his junk during oral favors
Occasionally, it becomes very apparent that women have no idea just how fickle a guy’s genitals really are.  This is a perfect example.
bad-sex
If you really want to know what effect ice has on a man’s package, just take a look at his junk after he’s gone swimming in a cold pool.  Can you say shrinkage?
Have you ever tried a sex move that you read about in a magazine, only to have it blow up in your face?  If so, what was the move?  Better yet, what was your guy’s reaction? Post your comment below.

5 things men do that scare women away!


had_enough_228550785.jpg
There’s a bunch of guys who believe that smothering a woman is the way to go about love.  They call you 500 times a day, send you kisses and smileys every hour, hold you so tight until you can’t breathe, insist on celebrating Valentine’s day even though they know that day disgusts you, want to spend every waking hour with you…so annoying! Such guys always end up getting dumped and then wonder why they are so unlucky in love.
If you’ve noticed a trend in your love life where after a couple of dates the woman you like stops picking your calls and wants nothing to do with you… then there are a couple of things you may want to change.
According to Askmen.com, here are a couple of things you may want to stop doing because they scare women away.
#1)  Being too easy to please. Obviously, women love compliments.  But when you throw out too many early on, she’s just going to think you’re insincere.
#2)  Being too focused on sex. She already KNOWS you want to do her.  So if you rush things, or guilt-trip her into sex, she’s not going to put out . . . and she’ll question your intentions.
#3)  Being possessive too soon.  Don’t get jealous when she hangs out with her guy friends, or spends more time with her girlfriends than you.  And if you DO get jealous, at least ACT like you know she’s entitled to have her own life.
#4)  Being cheap. Women are drawn to men who can protect and provide for them.  It’s fine to split every third or fourth date, but making her pay too early sends the signal that you’re not the sort of guy she can have a future with.
#5)  Talking about exes. No woman wants to hear about your ex.  And it doesn’t matter whether you’re saying good things or bad things.  Either way, it shows you have too much baggage.

"KAJALA NDIO KILA KITU KWANGU KWA SASA, YEYE NI ZAIDI YA MUME KWANGU"

KASUMBA ya wanawake wengi kuwaambia mashoga zao siri zao nzito inadaiwa kumfanya msanii maarufu wa filamu Bongo, Wema Sepetu kufunguka kuwa, bila kuwa karibu na Kajala Masanja itakuwa ni kama kuamua kutembea mtupu.

Wema alifikia hatua ya kutoa maneno hayo katikati ya wiki hii kwa kuposti picha kwenye mtandao wa Instagram ikimuonesha yeye, meneja wake Martin Kadinda na Kajala huku akisindikiza na ujumbe mzito uliosomeka:
“I always call my poch and I fell so naked without, I need her everywhere with me. I hope that’s how they out each other.”
Aliandika kimombo, alimaanisha nini?
Tafsiri ya maneno hayo ni kwamba, Wema anamchukulia Kajala kama pochi yake na bila yeye anajihisi yuko uchi kiasi kwamba anataka kila sehemu wawe wote.
Kajala amjibu
Baada ya Wema kutundika ujumbe huo, Kajala naye alijitutumua na kutupia maneno ya kumshukuru (Wema) huku akieleza kuwa, kama ni hivyo yeye hana la kusema.
“Nimeyapenda maneno hayo, kama ni hivyo mimi sina la kusema,” aliandika Kajala kwenye mtandao huo.
Kwa nini Wema aseme hivyo?
Yawezekana Wema alimaanisha vingine lakini wachambuzi wa mambo wamekuwa na maoni yao huku wengi wakieleza kuwa, inawezekana Wema anasema hivyo kutokana na ukweli kwamba Kalaja anajua siri zake nyingi.
“Unajua Wema amekuwa na marafiki wengi sana lakini inavyoonekana Kajala amemshiba sana na anajua siri zake nyingi. Wema anaposema bila Kajala itakuwa ni kama anatembea uchi anamaanisha kuwa, wakikorofishana kuna hatari ya kuanikana mambo yao nyeti.

“Watu wanazusha kuwa Wema anauza ‘unga’, mara anatembea na kigogo mmoja serikalini, ukweli wa haya anaujua Kajala na ndiyo maana amemshiba ili siri zake ziendelee kuwa sirini,” alidai mmoja wa marafiki wa karibu wa Kajala aliyeomba hifadhi ya jina lake.
Mwingine aliyejitambulisha kwa jina la Mariam wa Kinondoni alisema: “Hawa wana siri nzito, kila mmoja anajua mambo ya ndani ya mwenzake na ndiyo maana hakuna ambaye yuko tayari kumtosa mwenzake, watazinguana lakini watarudiana.”
Kajala anasemaje?
Ijumaa lilifanya jitihada za kumtafuta Kajala kuzungumzia maoni yake juu ya ujumbe huo wa Wema ambapo alisema, hana neno la kutia isipokuwa amefarijika tu kusikia anapendwa kiasi hicho.
“Kwa kweli hata kama wewe unaambiwa hivyo lazima utafurahi sana maana sikuwa najua kuwa napendwa na shosti wangu (Wema) ila hata mimi nampenda sana yaani siwezi kueleza, hayo manenomaneno ya watu hatuwezi kuyasikiliza,” alisema Kajala.
Msikie Wema
“Nilichokiandika nilikimaanisha, Kajala kwa sasa siyo rafiki yangu tena ni ndugu ambaye nampenda sana kutoka moyoni mwangu na nitampenda siku zote na ndiyo maana sijisikii kuwa mbali naye,” alisema Wema.
Watadumu?
Swali ambalo wengi wamekuwa wakijiuliza ni kama ushosti wa wawili hao utadumu kwani mara kadhaa imekuwa ikidaiwa kuwa wametibuana na baadaye kuonekana wako pamoja, mazingira yanayoashiria kuwa huenda siku moja wakazinguana moja kwa moja.
Hayo yanakuja kufuatia historia ya Wema ambaye amekuwa hadumu na marafiki zake, mfano ukiwa kwa msanii Snura Mushi (staa wa Majanga) ambaye waliwahi kuwa marafiki kupitiliza lakini baadaye wakatosana

MAMBO YA SHILOLE HAYO NDANI YA FIESTER


Dance imekolea kwa shilole hapo ...mpaka mambo yote hadharani ......kitu cha black

Jumanne, 27 Agosti 2013

VIGOGO 111 WANAOJIHUSISHA NA MADAWA YA KULEVYA WAMEANZA KUONJA JOTO YA JIWE....!!!




VIGOGO 111 wanaosadikiwa kujihusisha na biashara yharamu ya madawa ya kulevya nchini wameanza kuonja 'joto ya jiwe' kufuatia Jeshi la Polisi Tanzania Kitengo cha Kudhibiti na Kupambana na Madawa ya Kulevya kwa kushirikiana na vyombo vingine vya dola kukamata mali zao, Uwazi lina mpango mzima.
Kwa mujibu wa vyanzo makini ndani ya jeshi hilo, pia vigogo wengi wanaojihusisha na biashara hiyo  walikamatwa na kiasi kikubwa cha ‘unga’ ndani ya kipindi cha miaka minne iliyopita.
Kuhusu mali ambazo ni magari, ilidaiwa kuwa kufuatia taarifa zilizowataja wauza unga, jeshi la polisi liliamua kushikilia magari hayo na kufanya uchunguzi wa uhalali wake.“Kuna watu walitajwa majina, wakafuatiliwa, magari yao yakakamatwa na kufanyiwa uchunguzi, lakini cha kushangaza baadhi yao  wameingia mitini na kutelekeza magari yao,” kilisema chanzo.
Chanzo kilisema baadhi ya magari hayo ni Mercedes Benz, Jeep, Toyota Spacio, Toyota Galsira, Toyota Mark II, Nissan Patrol 4x4 GL, Toyota Land Cruiser na Toyota Prado.   
Uwazi lilifanikiwa kunasa majina ya vigogo waliokamatwa wakiwa na unga  na kiasi walichokamatwa nacho.
Uchunguzi uliofanywa na gazeti hili katika mahakama mbalimbali nchini na ndani ya jeshi la polisi umebaini kuwa, kesi za watuhumiwa hao zinaendelea kuunguruma kortini  japokuwa kasi yake si ya kuridhisha.Na Global publisher


VIGOGO 111 wanaosadikiwa kujihusisha na biashara yharamu ya madawa ya kulevya nchini wameanza kuonja 'joto ya jiwe' kufuatia Jeshi la Polisi Tanzania Kitengo cha Kudhibiti na Kupambana na Madawa ya Kulevya kwa kushirikiana na vyombo vingine vya dola kukamata mali zao, Uwazi lina mpango mzima.
Kwa mujibu wa vyanzo makini ndani ya jeshi hilo, pia vigogo wengi wanaojihusisha na biashara hiyo  walikamatwa na kiasi kikubwa cha ‘unga’ ndani ya kipindi cha miaka minne iliyopita.
Kuhusu mali ambazo ni magari, ilidaiwa kuwa kufuatia taarifa zilizowataja wauza unga, jeshi la polisi liliamua kushikilia magari hayo na kufanya uchunguzi wa uhalali wake.“Kuna watu walitajwa majina, wakafuatiliwa, magari yao yakakamatwa na kufanyiwa uchunguzi, lakini cha kushangaza baadhi yao  wameingia mitini na kutelekeza magari yao,” kilisema chanzo.
Chanzo kilisema baadhi ya magari hayo ni Mercedes Benz, Jeep, Toyota Spacio, Toyota Galsira, Toyota Mark II, Nissan Patrol 4x4 GL, Toyota Land Cruiser na Toyota Prado.  
Uwazi lilifanikiwa kunasa majina ya vigogo waliokamatwa wakiwa na unga  na kiasi walichokamatwa nacho.
Uchunguzi uliofanywa na gazeti hili katika mahakama mbalimbali nchini na ndani ya jeshi la polisi umebaini kuwa, kesi za watuhumiwa hao zinaendelea kuunguruma kortini  japokuwa kasi yake si ya kuridhisha.Na Global publisher


POLISI WABUNI MBINU MPYA
Vyanzo hivyo viliendelea kudai kwamba polisi wamebuni mbinu mpya ya kuwakamata vigogo wa madawa ya kulevya wakiamini itawapa mafanikio zaidi.
“Siku hizi si kama zamani, jeshi la polisi tumebuni mbinu mpya ya kuwakamata hawa jamaa (vigogo). Mbinu hii italeta mafanikio makubwa zaidi,” alisema mtoa habari wetu.

WAPAMBANAJI WA UNGA HATARINI
Taarifa zaidi zinadai kwamba usalama wa viongozi wanaopambana na wahusika wa unga nchini upo shakani kutokana na vitisho vinavyotolewa na mtandao huo duniani kote.
Inaaminika kuwa wengi wanaopambana au kupiga vita madawa ya kulevya, hususan viongozi na waandishi wa habari, hutendwa vibaya wakati mwingine kuuawa kabisa.

UWAZI LAMSAKA KAMANDA NZOWA
Kufuatia taarifa hizo za kiuchunguzi, katikati ya wiki iliyopita, mapaparazi wetu walimtafuta Kamanda wa Kudhibiti na Kupambana na Madawa ya Kulevya Tanzania, Godfrey Nzowa na kumuuliza kuhusu zoezi zima la kamatakamata ya wanamtandao hao.
Kamanda Nzowa alisema zoezi la kuwakamata wanaojihusisha na biashara hiyo linaendelea vizuri.
Alisema mpaka Mei, mwaka huu kikosi chake kimeshakamata kiasi kikubwa cha unga na kuongeza kuwa anaamini kasi ya biashara hiyo nchini imepungua sana.
Aliongeza kuwa askari wake wamejipanga vizuri na wana mafunzo maalum ya kuwatambua watu hao hatari.

VIGOGO HUWALISHA KIAPO KIBAYA  WANAOWABEBESHA
“Tumewakamata ‘mapapa’ (wauza unga wadogo) wengi sana na tunahakikisha kwamba ‘nyangumi’ (wauza unga vigogo)  nao hawachomoki.
“Mara nyingi vigogo wamekuwa wakiwalisha kiapo kibaya vijana wanaowabebesha unga kwamba  ikitokea wakakamatwa wasiwataje lakini nao tunawabana kitaalam mpaka wanawataja, kwa sasa bado tunaendelea kuwadaka,” alisema Kamanda Nzowa.
Kamanda huyo aliwataka wananchi kuendelea kutoa ushirikiano kwa jeshi lake dhidi ya wauza madawa ili kutokomeza kabisa biashara hiyo.

ULINZI VIWANJA VYA NDEGE NCHINI SASA NI MOTO
Katika maongezi yake, Afande Nzowa alisema ulinzi umeimarishwa katika viwanja vya ndege, bandarini, mipaka ya nchi na sehemu zote zinazohisiwa kuweza kupitishwa madawa hayo.

AANIKA MAJINA 111
Kamanda Nzowa alikwenda mbele zaidi kwa kuweka wazi takwimu ya ukamataji wa watuhumiwa hao kutoka mwaka 2009 hadi Mei, 2013.
Orodha chini inabainisha kiasi na aina ya madawa waliyokamatwa nayo katika mabano.
Steven  Gwaza, (heroin gramu 825.7), Rebecca Wairimu Mwangi (heroin gram 1,800), Khatibu Bakari Khatibu, Khalid Salim Maunga, (cocaine gramu 1,007.4), Dhoulkefly  Awadh, (cocaine gramu 893.58), Abdallah Pashua Kipevu (heroin gramu 31,000), Diaka Brama Kaba (heroin gramu 31,000), huyu alikamatwa akiwa na Ndjane Abubakar, Sylivia Kaaya Namirembe, Farid Kisuule, Robinson Dumba Teise na Ismail Mugabi.
Wengine ni Rashid Salim Mohamed, (cocaine gramu 1,374.32), Mini Thabo Hamza (cocaine gramu 1,595.74), Hamis Mohamed Mtou (cocaine gramu 850), Kwako Sarfo, Mnigeria (cocaine gramu 1,1951.80), Mustapha Musa (cocaine gramu 286), alikuwa na Aman Saidfadhil Daruweshi na Afshin  Jalal.
Kamanda Nzowa akaendelea kuwaanika, Jack Vuyo, (heroin gramu 42,000) huyu alikuwa na Anastazia Elizabeth Cloete. Simon Eugenio Fadu    (cocaine gramu 8,000), Assad  Aziz, (heroin gramu 50,000), alikuwa na Isamil Shebe Ismail, Rashid Salim na Majed Gholamghader.
Wengine kwenye orodha hiyo ni, Anna  Jamaniste Mboya, (cocaine gramu 1,140), Fredy William Chonde (heroin gramu 175,000),  Kambi Zuber, Abdul Ghan na Shahbaz Malik, Livinus Malik (Wapakistani) (cocaine gramu 804.7), Chukwudu  Denis Okechukwu, Paulo Ekechukwu na Hycenth Stan (Wanigeria) (cocaine gramu 81,000).
Aidha wapo, Shoaib S.O. Mohammed, Fedro Alfredo Chongo, (cocaine gramu 1,530), Kadiria  Said Kimaro (heroin gramu 1,365.91),  Abdallah Rajab Mwalimu (cocaine gramu 716.5), Mwiteka Godfrey Mwandemele (cocaine gramu 1,112),  Abbas Kondo Gede (cocaine gramu 1,112), Mwanaidi  Ramadhan Mfundo (cocaiane gramu 5,000), alikuwa na Sarah David Munuo,  Antony  Karanja, Benny Ngare,  Almasi Hamis Said, Yahya Haroun Ibrahim, Aisha Said Kungwi, Rajab Juma Mzome na John  William Mwakalasya.
Wengine ni Ally Mirzai Pirbakhshi (cocaine gramu 97,000) alikuwa na Aziz Juma Kizingiti, Said Mashaka Mrisho, Abdulahman  Mtumwa na Hamidu Kitwana Karimu.
Ramadhan Athuman (heroin gramu 3,000) alikuwa na Rashid Mohammed, Ally Mohammed Kichaa na Issa Abdulahman. Rashid  Ally Mtopea (heroin gramu 12,000) alikuwa na Idd Adam Mwaduga, Nurdin Adam. Maurine Amatus Lyumba, John  Adams Igwenma  wa (Mnaijeria) ( cocaine gramu 830.19).
Upendo Mohammed Cheusi, Abdallah Omar Salum (cannabis sativa gramu 1,000) alikuwa na Cosmos Chukwumezie, Ifeanyi  Malven Kalu Oko (Wanaijeria)  (heroin gramu 3,185.38), Allan Duller (cocaine gramu 3,882.92), Alberto Mendes kutoka Ghana, (gramu 1,277.10 za heroin)
Wengine ni Joseph Chukwumeka Nwabunwanne Minigeria, (gramu 1,245.96 za heroin) Kwaku Safo Brobbey Mghana (gramu 13,781.78 za heroin), Princewill Ejike Mnigeria (gramu 981.12 za heroin),Mary  Mvula Mzambia (gramu 391.51 za cocaine), Waziri Shaban Mizongi, (gramu 2,013 za heroin) akiwa na Santos Joseph Mpondela, Kelvin Kelven Mwazeni.
Wengine ni Emmanuela Adom, Mghana (gramu 9,838.1 za cocaine), Asha Omary Ramadhan, (gramu 1.56), Mariam Mohammed Said, (gramu 9,857.54 za bangi) akiwa na Abdullatif A. Fundikira
Aliendelea kuwataja Marceline Koivogui, Mghana (gramu 1,073.82 za heroin),  Edwin Cheleh Swen Mliberia (gramu 1,509.35 za heroin),  akiwa na Benjamin Obioma Onuorah  wa Nigeria, Sofia Seif Kingazi, (gramu 3,379.54 za cocaine), Josephine Mumbi Waithera Mkenya (gramu 3,249.82 za cocaine), Iddi Juma Mfaume,( gramu 563.25 za heroine), Amina Kassim Ramadhani,( gramu 1,980.11 za heroine) na Vivian Edigin Mnigeria ( gramu 797.56 za cocaine), Hadija Tambwe,( gramu 33,507.04 Za cannabis),  Sasha Farhan  na Mnyeke Sativa, na Mychel Andriand Takahindangeng Muindonesia,( gramu 3,932.44 za cocaine).
Wengine ni Kristina Biskavevskaja Mluthenia (gramu 4,000 za cocaine), Stephen Basil Ojiofor Mnigeri (gramu 1,173 za cocaine), Judith Marko Kusekwa, ( gramu 1,793 za heroin), Khamis Said Bakari,( gramu 1,793 za heroin).
Kundi la mwisho ni Tabia Omary au Neema Omary (gramu 994.97 za  heroin), Masesa au Habiba Andrew Joseph, ( gramu 1,037.9 za heroin).
Hivi karibuni Agness Gerald ‘Masogange’ na mwenzake walikamatwa Afrika Kusini wakiwa na kilo 150 za dawa za kulevya.

DAH HAYA MAENDELEO NOMA .. WENZETU WAMEWEKA VITUO VYA KUFANYIA NGONO KWENYE BARABARA


“Jiji limehalalisha na kufungua vyumba 9 ambavyo vitatumiwa na machangudoa na wateja wao kihalali na kwa usalama zaidi”

Drive-in ya ngono imefunguliwa rasmi, Zurich katika mkakati wa kuwalinda makahaba ili kuhamisha biashara ya umalaya nje ya mji wa Swiss.


Vibanda(pichani kulia) tisa vya ngono vilivyojificha ndani ya uzio mkubwa vimeandaliwa kwaajili ya wauza miili ‘malaya’ na wateja wao kuanzia leo na kuendelea.

Kuna saini ndogo inayoonesha muda wa kazi, mwamvuli mwekundu kutambulisha eneo hilo kama eneo la shughuli hiyo ambalo zamani lilikuwa ni eneo la viwanda magharibi mwa jiji hilo.

Pamoja na hayo kuna sharia maalumu zimewekwa(kushoto pichani). Mteja lazima awe na umri usiopungua miaka 18, mtu mmoja tu kwenye gari, na kondom lazma itupwe kwenye vyombo maalumu baada ya kutumika.

Kuna eneo ambalo mteja anaweza kuchagua mwanamke anayemfaa, pamoja na makubaliano ya bei kabla ya kuelekea kwenye kibanda, ambacho ni cha mbao kinacho fanana na eneo la kuegesha gari.

Kila kiboksi kina alamu ili kuwalinda Malaya hao.

Michael Herzig, mkurugenzi katika huduma ya jamii ya wafanyakazi wa ngono jijini alisema “Umalaya ni biashara” 

“Hatuwezi kuzuia, hivyo tunataka kudhibiti ili kuwasaidia wafanyakazi wa ngono na jamii, sababu bila kufanya hivyo uhalifu unaongezeka na wahuni wanazidi kuwa wengi”



Ursula Kocher, Mkurugenzi wa Flora Dora, mtandao unaounga mkono Malaya, alisema kuwa machangu doa mara nyingi huchukuliwa na kupelekwa porini au nje ya mji na kujikuta katika mazingira hatari.

Alisema “ hapa wanabakia humuhumu ndani na kuhudumia wateja wao haraka” 

Eneo hilo la drive-in ya ngono limehalalishwa na wakazi wa Zurich katika sharia ya mwezi machi, 2012baada ya kupigiwa kura kwa asilimia 52.6 kukubaliana nalo.

Eneo hilo pia lina makubaliano mazuri tu yanayohusisha vyama vyote vya siasa nchini humo, likiwa na wanachama wengi wa chama cha Swiss People's Party (SVP) wanaopinga mpango huo.

"haitofanikiwa, labda kwasababu wateja hawatokuja au eneo hilo halitotumiwa na machangudoa” alisema Sven Oliver Dogwiler, mwanasiasa wa eneo hilo ambae ni mwanachama wa SVP

HILI NDO JESHI ALLILOLITAMBULISHA WEMA SEPETU KWENYE SHOW YAKE

Wema sepetu atambulisha jeshi lake rasmi usikuWa kuamkia Leo... Ilikuwa ni zaidi ya burudani









ASALI AKIMTAMBURISHA MZURI WAKE....































Mwananchi wa kawaida akiteremsha ratiba nzima ya show....
Mnyama akifanya yake....