Jumatatu, 30 Juni 2014

NOMA SANA HII: ALICHOKIONGEA OMMY DIMPOZ BAADA YA DIAMOND KUSHINDWA BET AWARDS 2014..


Stori kubwa inayoongelewa kuhusu tuzo hizi za BET 2014 ambazo kwenye kipengele cha tuzo inayotolewa kwa msanii/kikudi cha Afrika Diamond Platnumz pia alichaguliwa kushiriki, ni tuzo hiyo kutolewa saa kadhaa kabla ya zile tuzo za wasanii wa Marekani kutolewa…. yani kwa ufupi hafla ya utoaji wa tuzo hizi haitoi nafasi kwa tuzo ya Afrika.asubuhi wakati tuzo za kina Chris Brown, Beyonce na wengine wakubwa zinatolewa saa kadhaa baadae usiku, Waafrika wanawekwa peke yao ila ingekua poa kama wangekua wanatoa tuzo ya Afrika palepale kama wasanii wa Marekani, ingesaidia kuunyanyua muziki wa Afrika’
Miongoni mwa waliotoa yao ya moyoni ya kutofurahishwa na utolewaji huu wa tuzo ya Afrika kivyake na kutojumuishwa na zile za wasanii wa Marekani ni msanii Ommy Dimpoz. 

Jumamosi, 25 Januari 2014

MSIKILIZE HAPA LADY JAY DEE AKIZUNGUMZIA SIRI YA MAFANIKIO YA YEYE KUMILIKI GHARI YENYE AGHALI ZAIDI...HUYU HAPA JIDE

Mwaka 2013, vuguvugu la Anaconda lilimsaidia Lady Jaydee si tu kukusanya mashabiki wengi zaidi, bali pia limempa fedha nyingi mno. Hadi sasa muimbaji huyo ana zaidi ya likes laki mbili kwenye Facebook na followers zaidi ya 60,000 kwenye Twitter.


Jaydee akiwa na gari yake mpya, Range Rover Evoque
Zaidi ya tiketi 3,500 zilinunuliwa kwenye show yake ya mwezi June ya Miaka 13 ya Muziki na kuingiza takribani shilingi milioni 100. Haikuishia hapo, album yake Nothing But The Truth ilifanya vizuri na kumfanya kuwa msanii pekee wa Bongo Flava anayeendelea kufurahia mauzo ya album zake.
Hits zake mbili, Joto Hasira na Yahaya kutoka kwenye santurui take hiyo, zimebadilisha maisha yake na kumfanya kuwa mwanamuziki aliyekuwa na show nyingi zaidi mwaka jana. Lady Jaydee alitumbuiza kwenye karibu show zote za Kili Music Tour ambako aliiingiza si chini ya shilingi milioni 25.
Mwaka jana pia Lady Jaydee amefanya show nyingi kubwa ikiwemo ile ya uzinduzi wa filamu ya Lulu, Foolish Age, show yake kwenye Miss Tanzania 2013, Family Day Show ya Arusha iliyofanyika Eid Pili, Anaconda Show iliyofanyika Triple A na nyingine iliyofanyika Snow View Hotel. Akiwa Arusha pia, Lady Jaydee aliuza kopi za album yake kama njugu pamoja na t-shirt za Anaconda zilizouzwa kwa shilingi 15,000 kila moja.
June mwaka jana, Lady Jaydee alitumbuiza kwenye semina ya kuwezesha wanawake kuondokana na njaa na umaskini, iliyofanyika chini ya mfuko wa fursa sawa kwa wote chini ya mama Anna Mkapa. Biashara yake ya Nyumbani Lounge, imeendelea kufanya vizuri pia kwa kupata wateja wengi wanaoenda kupata chakula, vinywaji na burudani kutoka kwa bendi yake ya Machozi.
Bado anaingiza fedha kupitia udhamini wa Airtel kwenye show yake ya TV ya Diary of Lady Jaydee. Msanii huyo ambaye jina lake ni Judith Wambura pia miongoni mwa wasanii 24 wa bara la Afrika waliochukuliwa kwenye mradi wa Coke Studio Africa wa kampuni ya Cocacola unaoendelea jijini Nairobi Kenya. Na sasa Lady Jaydee amekuwa msanii wa Tanzania anayemiliki gari aghali zaidi, Range Rover Evoque.
land-rover-range-rover-evoque-1306223771-19
“Hakupenda kudisclose mambo ya bei wala wapi alikoinunua,” mume na meneja wa Lady Jaydee, Gadner G Habash ameiambia Bongo5.
“Lakini tunashukuru Mungu kwa baraka zake na nguvu ya mashabiki wake amefikia hapo. Hiyo ni gari aina ya Range Rover Evoque. Gari hizi mara nyingi hapa Tanzania kuna wakala wake kampuni inaitwa CMC Moters, ni moja kati ya magari latest sana,” amesema Gadner.
jide
Gadner amezitaja sababu za mafanikio ya Jaydee ni pamoja na ‘karama na fadhila ya mwenyezi Mungu, nguvu anayoipata kutoka kw mashabiki wa muziki nchini.
“Wamekuwa wakimwamini, wamekuwa wakimsupport na kwa jinsi hiyo ndio maana amekuwa anapata mafanikio. Sababu ya tatu ni ile commitment yak wake yeye mwenye kama msanii. Jaydee ni mtu ambaye ana bidii sana kwenye kazi yake na anapenda sana muziki. Jambo hili linafanya siku zote awe makini na umakini ule unampelekea awe na mafanikio kusema ukweli. Kitu kingine ni kwamba ni mtu ambaye anathamini kesho yaani kama leo tumefanya vizuri, je kesho itakuaje! Huwa anafikiria sana kutowaangusha mashabiki wa muziki wanaomsupport.”
Gadner amesema pamoja na kuwa na biashara yake ya Nyumbani Lounge, Lady Jaydee anatarajia kuongeza zaidi miradi mingine. “Huyu bado ni mjasiriamali mchanga anayejifunza zaidi na angependa kufanya biashara nyingi lakini muda ni mdogo. Isipokuwa kwa mwaka huu alitarajia kufanya kitu kingine kuongeza kama biashara. Hajawa tayari kusema ni kitu gani lakini mwenyezi Mungu akijaalia heri na afya mwaka huu kuna biashara nyingine Jaydee ataitambulisha, ukiacha Nyumbani Lounge na muziki,” Gadner amefafanua.
Akiongelea ushiriki wa Jaydee kwenye kipindi cha Coke Studio Africa, Gadner amesema Jide amejiongezea connection kubwa na amejifunza mengi.
“Pamoja na kuestablish mawasiliano lakini kumekuwa na kujifunza kwa malegend kama Salif Keita na zaidi ya hapo kumekuwa na kama aina flani ya miradi ya kufanya kazi pamoja na wasanii waliofika pale. Mzee Salif Keita amemkubalia Jaydee wakati wowote atakapokuwa tayari aende Mali wakafanye wimbo pamoja. Hali kadhalika Octopizzo kutoka Kenya tayari wameweka kwenye line wimbo wa kufanya pamoja na Jaydee na wasanii wengine wa Nigeria akiwemo Waje.
Gadner amesema kwakuwa kufanya kazi na wasanii wa nje kunahitaji maandalizi ya kutosha, muda muafaka ukifika Jaydee ataanza kuifutilia miradi hiyo.
Gadner ambaye ni mtangazaji wa Times FM, ameongeza kuwa kwa mwaka 2014 Lady Jaydee atasikika kwenye kazi alizoshirikishwa ukiwemo wimbo wa Juma Nature, One, Songa na Nikki Mbishi, huku pia yeye akiachia wimbo mpya uliotayarishwa na Bob Junior na kwamba Historia unaopatikana kwenye Nothing But The Truth ni wimbo wa mwisho kutoka kwenye album hiyo.
Amesema video ya Historia imefanywa na kampuni ya Ogopa na kwa sasa ipo kwenye hatua ya editing.
Kuhusu wimbo mpya, Gadner amesema video yake itaongozwa na muongozaji Mtanzania aishiye Marekani, Hefemi.
“Nafikiri Jaydee alikuwa anataka afanye kitu cha tofauti na ndio maana akaamua amchukue director ambaye yuko nje ya Tanzania ili atupe picha na idea tofauti.”

WEMA SEPETU NA HISTORIA YA MAISHA YAKE HII HAPA YOTE UNAYOTAKA KUJUA KUHUSU WEMA HAPA YAPITIE


Akiwa mmoja kati ya wanadada wanofanya vizuri sana kwenye Tasnia hii ya BongoMovies ,Wema Sepetu ni msichana  anayetoka kwenye Familia ya kibalozi ni mtoto wa mwisho katika familia ya wasichana wanne wa Balozi Isaack Sepetu Ibrahimu.
Ana sura na umbo zuri sana, na mvuto mkubwa sana kutokana na rangi yake nzuri ya ngozi…
Wema sepetu alizaliwa mnamo mwaka 1988 katika hospitali ya ST. Andrew's jijini Dar es Salaam na ni mtoto wa mwisho kuzaliwa katika familia yao yenye watoto wanne wa kike.
Alipata elimu yake ya primary na sekondari katika shule ya ACADEMIC INTERNATIONAL iliyopo jijini Dar es Salaam kabla ya kwenda Nchini Malaysia kusomea mambo ya biashara za kimataifa katka chuo cha Limkokwing University. 

Wema alianza kuigiza rasmi mwaka 2007 alipoonekana kwenye filamu ya POINT OF NO RETURN ambapo halicheza kama mke wa jamaa tajiri mchawi ambaye daima huua wapenzi wake wa kike kama sadaka. Wema alifikiri angeweza kufa pia lakini aliamua kumwomba Mungu na mwishowe alifanikiwa kuiokoa familia yake na yeye.
 Pamoja na filamu hizi Wema ameigiza kwenye filamu nyingine nyingi kama Red Valentine, White Maria, Tafrani, Sakata, Crazy Tenant, Diary, Lerato, Dj Benny and Basilisa zilizompatia umaarufu na mafanikio makubwa.
Pamoja na kuwa na kipaji cha uigizaji wema pia anakipaji kikubwa cha kuimba na pia alishawahi kushiriki mashindano ya urembo na kufanikiwa kutwaa taji la Miss Tanzania mnamo mwaka 2006 na kujipatia zawadi ya gari aina ya Toyota Rav 4. 

Alhamisi, 31 Oktoba 2013

Taswira:Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo Amtembelea mama mzazi wa Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, Albertina Kasanga Nyumbani Kwake Kibaoni


Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo akizungumza na mama mzazi wa Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, Albertina Kasanga jana alipomtembelea nyumbani kwake Kibaoni akiwa katika ziara ya mikoa ya Rukwa na Katavi kukagua miradi ya umeme. Picha na Mussa Mwangoka.

Alhamisi, 24 Oktoba 2013

16 Ridiculous, Annoying Things People Say When You Get Married


cheap-wedding-venues-2
For some baffling, annoying reason, crossing the threshold from single to married seems to open a Pandora’s box of weird, random, and downright ridiculous remarks and questions. Here, 15 of some of the most common, annoying, and/or completely crazy …
  1. “So … when are you having kids????” (and any variation on this, like, “When are you going to start trying?” or “Are you pulling the goalie?”)
  2. “You’re not hyphenating and/or taking his horrible last name, right?”
  3. “Are you still allowed to go out without him?”
  4. “Hey, you know statistics show you have less than a 50 percent chance of this working out, right?”
  5. “He’ll make a great first husband!”
  6. “How’s the old ball and chain?”
  7. “Congrats! Your sex life is over!”
  8. “I always thought you’d end up with (fill-in-the-blank person or type of person other than the new husband).”
  9. “Is that true what they say about marriage killing your sex life?”
  10. “You probably already miss the single life, huh?”
  11. “Does your husband let you wear THAT?”
  12. “Why bother exercising/eating right? Now that the wedding’s over, you can get fat!”
  13. “Here’s the card of a divorce lawyer I know in case it doesn’t work out.”
  14. “Welcome to the club! Now we can be miserable together.”
  15. “Why are you doing your hair/makeup? You’ve already got ‘im!”
  16. “Are you (still) going to work?”  … (Uh, what year is this again?!)
What’s the craziest thing anyone has said to you since being married?

Alhamisi, 10 Oktoba 2013

AGNESS MASOGANGE AMETUA BONGO KUTOKA AFRIKA KUSINI ..PICHA AKIWA AIRPORT


Ikiwa ni wiki chache toka kesi ya video vixen Agnes Gerald a.k.a Masogange ya kutuhumiwa kusafirisha dawa za kulevya kuisha kwa kulipa faini nchini Afrika Kusini na kuwa mtu huru, hatimaye jana Jumanne amerejea nyumbani Tanzania.



Kupitia Instagram jana Agnes alipost picha (hapo juu) akiwa uwanja wa ndege na kuandika “am cmng homeeeeeeeee”.

Mwishoni mwa mwezi uliopita (September) mrembo huyo aliachiwa huru pamoja na mdogo wake Melissa Edward ambaye mahakama ya Kempton ya jijini Johannesburg, Afrika Kusini ilimuachia huru baada ya kukosa ushahidi wa kumtia hatiani.

Jumatatu, 7 Oktoba 2013

KISOSI AOLEWA: NI YULE ALIYEKUWA ANAIGIZA UTEJA NA KITALE KWENYE JUMBA LA DHAHABU



Msanii wa maigizo nchini, Bahati Abilah ‘Kisosi’, ambaye mara nyingi anaigiza kama teja la kike  wiki iliyopita alifunga ndoa na Muhaji Salim nyumbani kwao Temeke jijini Dar es Salaam na kuhudhuriwa na wasanii mbalimbali.
Akizungumza na paparazi wa Ijumaa huku akiwa mwenye furaha, Kisosi alisema kuwa anamshukuru sana mumewe huyo kumuoa kwani ni wanaume  wachache wanaoweza kuzikubali kazi za wapenzi wao hususan za kisanii na kufunganao ndoa.
Kisosi aliongeza kuwa, kwa jinsi anavyoigiza kama teja la kike na baadhi ya watu kumchukulia hivyo ingekuwa vigumu kuolewa lakini baada ya mchumba wake kujua ilikuwa kazi kama zingine wamefunga ndoa.


 “Unajua watu wengi sana wanajua mimi ni teja kweli la kike kitu ambacho si kweli, hivyo mwanaume  anayekuona kupitia michezo yako na akakupenda kutoka moyoni kama ilivyotokea kwangu ndiye mwanaume wa kweli na nitadumunaye,” alisema Kisosi.

Ijumaa, 4 Oktoba 2013

mambo ya shilole hayo

 Shabiki akimnyonya maziwa Shilole baada ya kumuita jukwaani ili wacheze wote.
 Shilole akionyesha kulegea baada ya kunyonywa na shabiki wake
 jamaa akifaidi ziwa la Shilole

Alhamisi, 26 Septemba 2013

UNAMKUMBUKA YULE MSANII FUSKA MANAIKI SANGA?? IRENE UWOYA NAYE KAWEKWA KATIKA LISTI YAKE..!! TAZAMA PICHA ZAO HAPA..!!


 Wasanii Manaiki Sanga na Irene Uwoya wakiwa kwenye picha za mahaba huku Uwoya akigida bieeeee hadi kuche.

Na Mwandishi Wetu
Mtandao hatari wa habari wa Xdeejayz kwa mara nyingine umekuwa wa kwanza kunasa picha za wasanii mastaa toka kiwanda cha bongo movie Manaiki Sanga na Irine Uwoya zikiwaonesha wakiwa kwenye mahaba mazito huku Irine akiwa ho kwa kiraji “pombe”.

 Habari makini toka chanzo chetu makini ambacho ni rafiki wa karibu na Irine Uwoya kilisema Irine na Manaiki kwa sasa wako kwenye mahusiano ya karibu kiasi cha kuzua minong’ono kwa kudhani huenda wanamahusiano ya upande wa pili.

Hata hivyo chanzo hicho kiliendelea kusema kwa picha hizo zinadaiwa kupigwa katika viunga vya Club Maisha ambako walienda kula bata usiku kucha na hapo inaonekana ni asubuhi.

Aidha xdeejayz ilifanya juhudi za kuwatafuta wasanii hao ili kuweka bayana kuhusu picha zao hizo za mahaba na Uwoya ndiye aliyeanza kuvutiwa waya lakini hata hivyo simu yake iliita kwa muda mrefu bila kupokelewa na alivyopigiwa Manaiki Sanga na baada ya mwandishi wetu kujitambulisha na chombo cha habari anachotoka hali ilikuwa tofauti kidogo kwani msanii huyo alianza kumporomoshea matusi makubwa mwandishi wetu huku akiituhumu blog hii kuongoza kumchafua kwa kuanika mambo yake ya siri hadharani.
 Mtandao hatari wa habari wa Xdeejayz kwa mara nyingine umekuwa wa kwanza kunasa picha za wasanii mastaa toka kiwanda cha bongo movie Manaiki Sanga na Irine Uwoya zikiwaonesha wakiwa kwenye mahaba mazito huku Irine akiwa ho kwa kiraji “pombe”.
Habari makini toka chanzo chetu makini ambacho ni rafiki wa karibu na Irine Uwoya kilisema Irine na Manaiki kwa sasa wako kwenye mahusiano ya karibu kiasi cha kuzua minong’ono kwa kudhani huenda wanamahusiano ya upande wa pili.
Hata hivyo chanzo hicho kiliendelea kusema kwa picha hizo zinadaiwa kupigwa katika viunga vya Club Maisha ambako walienda kula bata usiku kucha na hapo inaonekana ni asubuhi.
Aidha xdeejayz ilifanya juhudi za kuwatafuta wasanii hao ili kuweka bayana kuhusu picha zao hizo za mahaba na Uwoya ndiye aliyeanza kuvutiwa waya lakini hata hivyo simu yake iliita kwa muda mrefu bila kupokelewa na alivyopigiwa Manaiki Sanga na baada ya mwandishi wetu kujitambulisha na chombo cha habari anachotoka hali ilikuwa tofauti kidogo kwani msanii huyo alianza kumporomoshea matusi makubwa mwandishi wetu huku akiituhumu blog hii kuongoza kumchafua kwa kuanika mambo yake ya siri hadharani.