Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo BONGO MOVIE. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo BONGO MOVIE. Onyesha machapisho yote

Alhamisi, 26 Septemba 2013

UNAMKUMBUKA YULE MSANII FUSKA MANAIKI SANGA?? IRENE UWOYA NAYE KAWEKWA KATIKA LISTI YAKE..!! TAZAMA PICHA ZAO HAPA..!!


 Wasanii Manaiki Sanga na Irene Uwoya wakiwa kwenye picha za mahaba huku Uwoya akigida bieeeee hadi kuche.

Na Mwandishi Wetu
Mtandao hatari wa habari wa Xdeejayz kwa mara nyingine umekuwa wa kwanza kunasa picha za wasanii mastaa toka kiwanda cha bongo movie Manaiki Sanga na Irine Uwoya zikiwaonesha wakiwa kwenye mahaba mazito huku Irine akiwa ho kwa kiraji “pombe”.

 Habari makini toka chanzo chetu makini ambacho ni rafiki wa karibu na Irine Uwoya kilisema Irine na Manaiki kwa sasa wako kwenye mahusiano ya karibu kiasi cha kuzua minong’ono kwa kudhani huenda wanamahusiano ya upande wa pili.

Hata hivyo chanzo hicho kiliendelea kusema kwa picha hizo zinadaiwa kupigwa katika viunga vya Club Maisha ambako walienda kula bata usiku kucha na hapo inaonekana ni asubuhi.

Aidha xdeejayz ilifanya juhudi za kuwatafuta wasanii hao ili kuweka bayana kuhusu picha zao hizo za mahaba na Uwoya ndiye aliyeanza kuvutiwa waya lakini hata hivyo simu yake iliita kwa muda mrefu bila kupokelewa na alivyopigiwa Manaiki Sanga na baada ya mwandishi wetu kujitambulisha na chombo cha habari anachotoka hali ilikuwa tofauti kidogo kwani msanii huyo alianza kumporomoshea matusi makubwa mwandishi wetu huku akiituhumu blog hii kuongoza kumchafua kwa kuanika mambo yake ya siri hadharani.
 Mtandao hatari wa habari wa Xdeejayz kwa mara nyingine umekuwa wa kwanza kunasa picha za wasanii mastaa toka kiwanda cha bongo movie Manaiki Sanga na Irine Uwoya zikiwaonesha wakiwa kwenye mahaba mazito huku Irine akiwa ho kwa kiraji “pombe”.
Habari makini toka chanzo chetu makini ambacho ni rafiki wa karibu na Irine Uwoya kilisema Irine na Manaiki kwa sasa wako kwenye mahusiano ya karibu kiasi cha kuzua minong’ono kwa kudhani huenda wanamahusiano ya upande wa pili.
Hata hivyo chanzo hicho kiliendelea kusema kwa picha hizo zinadaiwa kupigwa katika viunga vya Club Maisha ambako walienda kula bata usiku kucha na hapo inaonekana ni asubuhi.
Aidha xdeejayz ilifanya juhudi za kuwatafuta wasanii hao ili kuweka bayana kuhusu picha zao hizo za mahaba na Uwoya ndiye aliyeanza kuvutiwa waya lakini hata hivyo simu yake iliita kwa muda mrefu bila kupokelewa na alivyopigiwa Manaiki Sanga na baada ya mwandishi wetu kujitambulisha na chombo cha habari anachotoka hali ilikuwa tofauti kidogo kwani msanii huyo alianza kumporomoshea matusi makubwa mwandishi wetu huku akiituhumu blog hii kuongoza kumchafua kwa kuanika mambo yake ya siri hadharani.


Jumanne, 6 Agosti 2013

MAMA KANUMBA AUZA MALI ZA MWANAE


Inavyosemekana imebakia hice tu ambayo nayo kesha pewa dalali atafute mnunuzi..Ofisi nayo inapumulia mashine. Kuna mazito ndani ya familia hiyo. Katika hali isiyokuwa ya kawaida Xdeejays imeibua tuhuma nzito toka kwa familia y amarehemu Steven Kanumba inayomtuhumu mama wa msanii kanumba(Flora Mutegoha) kuuza mali za mwanae kisha pesa kunywea pombe na mzazi mwenzake mama Lulu huku akisahau familia yake. Taarifa kutoka katika familia inasemakuwa mama kanumba alianza kuuza gari ya kifaahari V8 na alimuuzia mama salma mtambo ambaye ni mfanyabiashara maarufu jijini dar kwa sh mil 30 kisha kwenda kunywea pombe,.

Jumatatu, 5 Agosti 2013

ROSE NDAUKA AWASHUKIA WALIOZUSHA NA KUSEMA ALIINGIA GESTI NA MSANII WA BONGO FLAVA

csax
Mwanadada Rose Ndauka amewawakia baadhi ya waandishi wanoandika habari zauongo kuhusu yeye kufuatia hivi karibuni kuripotiwa kuwa amekutwa kaitika nyumba ya wageni akivunja amri ya sita na mwanamziki mmoja wa muziki wa kizazi kipya.
Kupitia ukurasa wake wa mtandao mmoja wa kijamii Rose aliandika
“Dah magazeti yanapenda chokochoko kweli haswa wakimuona mtu katulia….kama hujui uliza sio tu unaongea au unaandika kitu ambacho ukijui……mnaudhi sana”
Huku akionesha picha ya gazeti moja la udaku lilikouwa na habari hiyo.
Hapo awali iliripotiwa na baadhi ya mitandao ya habari na baadhi ya magazeti kuwa mwanadada huyu alionekana akipapaswa ndani ya gari na baadaye yeye na mwanamuziki huyo aliyotajwa kwa jina la dogo  Nasry kwenda kuvunja amri ya sita katika hoteli ya chumba hicho.
Source:Bongo Movies

JE WAJUA, KUWA HAWA NAO WANAJUA MAPISHI KINOUMA NOUMA

Na Imelda Mtema

MOJA kati ya sifa kubwa ya mwanamke ni kujua kupika. Zipo baadhi ya ndoa ambazo huvunjika kutokana na tatizo la mwanamke kutojua kupika.
Kwenye ulimwengu wa mastaa wa kike Bongo, wapo wengi wanaojua kupika chakula kizuri na wapo ambao hawajui.
Kizuri huwa kinajiuza siku zote, sifa njema huwa inazungumzwa na wengi ndiyo maana ni rahisi kuwasikia hata wakisifiana wenyewe kwa wenyewe pindi wanapobaini miongoni mwao yupo anayejua kupika zaidi.

Ijumaa, 2 Agosti 2013

BAADA YA ROSE NDAUKA KUHUSISHWA KATIKA FUMANIZI...!! HAYA NDIYO MANENO YA MCHUMBA WAKE ROSE KUHUSU SAKATA HILO




BAADA ya msanii wa filamu nchini Rose Ndauka kuripotiwa kufumaniwa akiingia gesti na msanii chipukizi wa muziki wa bongo fleva Nassoro Ayoub 'Dogo Nasry' huku akiwa amevaa baibui kipindi hiki cha mwezi mtukufu wa Ramadhani,  mumewake mtaarajiwa Maliki Bandawe 'Chiwaman' amjia juu msanii huyo kwa madai ya kumchafua mpenzi wake.