Kuna tofauti kubwa kati ya mabinti wa UDSM na wale wa UDOM. Mbali na
kwamba wote ni wazuri na wamemeenda vidato lakini zipo tofauti kubwa
baina yao zinazowatofautisha. Kwa ujumla tofauti zao ni hivi zifuatazo;
Muonekano (image)
Binti wa UDSM mara nyingi atapenda avae vitu mpaka aonekane kama
mwanamitindo. Atajiwekea make up za kila aiana japokuwa tayari ana uzuri
natural. Atataka avae fasheni mpya mpya zinazotokana kwa kuwa yuko town
na mara nyingi hata kama boom haliruhusu kuna wananchi wengi wa
kuwapiga mizinga. Nguo zao wananunulia Mlimani City, Quality Center,
Makumbusho, Mwenge kwa White na maeneo mengine kama hayo. Jinsi
wanavyovyaa unaweza ukawaogopa kudhani ni expensive saaaaana.
