Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo VITUKO. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo VITUKO. Onyesha machapisho yote

Jumatatu, 12 Agosti 2013

SOUND ZA WALOKOLE


Jamaa: Hello mrembo, samahani, una mpenzi?
Binti: Hapana. Sina mpenzi.
Jamaa: Kitabu cha Mwanzo 2: 18 "Bwana Mungu akasema, Si vema huyo mtu awe peke yake, nitamfanyia msaidizi wa kufanana naye."

Binti: Lakini mimi sikupendi jamani.
Jamaa: Waraka wa kwanza wa Yohana 4:8 "Yeye asiyependa, hakumjua Mungu, kwa maana Mungu ni upendo."

Binti: Mh! Mi ntajuaje kwamba na wewe unamaanisha hayo maneno?
Jamaa: Injili ya Mathayo 12:34b "Maana, kinywa cha mtu huyanena yaujazayo moyo wake."

Binti: Jamani leo kazi. Mi ntajuaje kwamba we ni mkweli na mwaminifu?
Jamaa: Injili ya Marko 13:31 "Mbingu na nchi zitapita; lakini maneno yangu hayatapita kamwe."

Jumanne, 6 Agosti 2013

JAMANI MBONA MAFUMANIZI YAMEZIDI


Hii mada nimeona niiandike haraka sana kwani tunakoelekea kubaya wanawake wenzangu, siku hizi eti wanawake ndiyo tunaongoza kufumaniwa aibu sana hii, tunaziaibisha familia zetu na  tulikotoka jamani.

DAH HII KALI... JAMAA APOTEZA UUME WAKE KWA MUDA WA SIKU TATU


MWANAUME mmoja aliyejulikana kwa jina la Elias Peter (28) mkazi wa Mwananyamala Msisiri, Dar hivi karibuni alijikuta katika wakati mgumu baada ya uume wake kutoweka kwa siku tatu na kurudi ambao

hauna nguvu.

Ijumaa, 2 Agosti 2013

SHULE ZA KATA ZINA UMUHIMU....

Watu wanaziponda shule za kata lakini zinasaidia kwa sababu mimi siwezi vaa nguo kama aliyovaa mshikaji hapo juu maana dahhhhhhhh... hapo ndipo utakapouona umuhimu wa shule za kata.......