Inaamini kwa watu wengi kwamba,
wasichana wa Kizaramo wanapowekwa ndani, hufundishwa kwamba, wakiingia
kwenye ndoa ni lazima wawe na mafiga matatu.
wanaoamini hivyo wanabainisha kuwa
mafiga hayo matatu ni ishara ya wanaume watatu, yaani MUME, HAWARA MPYA
na BWANA WA ZAMANI. lakini pia wapo wanaodai kwamba mafiga hayo matatu
ina maana ya kuolewa mara tatu katika maisha yake. Hii ikiwa na maana
kwamba, mwanamke wa kizaramo ni lazima aolewe na kuachwa mara tatu
maishani mwake.