Ijumaa, 30 Agosti 2013

Rihanna Amdondoshea Bonge la Diss Demu wa Chriss Brown (Karrueche)


 Jana Rihanna na Binamu yake anayeitwa Lele walimDiss mwanadada Karrueche(Demu wa Chriss Brown) hii yote ilianza baada ya Karrueche kupost pic ya mwonekano wake mpya  Instagram (hapo juu kulia) .

Baadae Ikawa Hivi..
Binamu yake Rihanna akaichukua hio picha na kuipost tena Instagram Kama inavyoonekana hapo chini na kuiongezea maneno ya kuzidi kumDiss pa1 na kuweka Face emoticons za Ajabu ajabu.

Baadae wakaanza kurushiana Tweets kama Hivi....



Karrueche naye baada ya kusoma mchezo akajibu..

Rihanna naye akajibu hivi...


Usisahau Kutucheki Fb Bonyeza Hapa