Jumanne, 20 Agosti 2013

YALIYOJIRI KATIKA USAHILI WA MAMODO

DSCN3106

DSCN3114


1Jana kwenye hoteli ya Serena, Ally Rehmtullah na team yake nzima ya majaji. Waliweza kuchagua models kwa ajili ya onyesho la mavazi litakalofanyika tarehe 30 mwezi huu. Ally Rhemtullah amelipa jina tukio hilo kama “Fashion Avenue” ambapo watu wataenda kwa mualiko maalum tu.Cheki picha jinsi mchakato mzima wa kuwapata wanamitindo hao.
DSC_0242
DSC_0275Baadhi ya models wa kike waliopita mchujo wa kwanza
DSC_0327
DSC_0349Meza ya majaji
DSC_0407
DSC_0462
DSCN3032
DSCN3061 DSCN3062Models walikuwa wanatembea watatu kwenda kwenye meza ya majaji kwa ajili ya kupata maoni ya Yes or No.
DSCN3065
DSCN3068
DSCN3070
DSCN3071
DSCN3072Top 20 ya models wa kiume
DSCN3074
DSCN3077Ally na wageni wake
DSCN3078Wema akisisitiza kitu
DSCN3088Daxx akitangaza matokeo ya models wa kiume
DSCN3089Models wa kike wakichaguliwa
DSCN3092
DSCN3093Models wa kike wakitangazwa
DSCN3096
DSCN3098
DSCN3100Baadhi ya models wa kike waliochaguliwa
DSCN3101Models wa kike wakiandika majina baada ya kuchaguliwa
DSCN3104Wema akifanya interview na pia kampuni yake ikishoot reality TV show yake
DSCN3106

DSCN3115