| Fezza Kessy ukitaja jina ili kwa watanzania watakujibu ni mwakilishi wa Tanzania kwenye mashindani ya Big Brother
 lakini kiundani zaidi ni mwanamuziki pia anaefanya
 vizuri kwenye muziki wa Tanzania uku akitamba na kibao chake
 Amani ya Moyo''
 
 Siku ya jana mwanadada Fezza aliwasili nchini
 Botswana kwa mpenzi wake au tuseme Mshiriki
 wa Botswana kwenye mashindani ya BBA THE CHASE 2013.
 Oneal mwenyeji wake au tuseme mtu wake wa
 karibu,aliwasili salama salmini na hivi
 ndivyo alivyopkelewa,umati wa waandishi wa
 habari na watu walifurika Airport kumlaki
 mwanadada Fezza kutoka Tanzania....
 
 Dooh ebhana kumbe vitu hivi vinaweza vikawa
 na umakini zaidi,toka BBA hadi nje watu wameamua
 kuendeleza kile kitu moyo umetaka,Basi
 sawa Kila kheri kwa Oneal na Fezza.
 |