Jumatano, 21 Agosti 2013

HAYA NDO MAPOKEZI YA FEZA KESSY HUKO BOTSWANA. KAMA QUEEN VILE.......

Fezza Kessy ukitaja jina ili kwa watanzania watakujibu
 ni mwakilishi wa Tanzania kwenye mashindani ya Big Brother
lakini kiundani zaidi ni mwanamuziki pia anaefanya
 vizuri kwenye muziki wa Tanzania uku akitamba na kibao chake
Amani ya Moyo''

Siku ya jana mwanadada Fezza aliwasili nchini
Botswana kwa mpenzi wake au tuseme Mshiriki
wa Botswana kwenye mashindani ya BBA THE CHASE 2013.
Oneal mwenyeji wake au tuseme mtu wake wa
 karibu,aliwasili salama salmini na hivi
ndivyo alivyopkelewa,umati wa waandishi wa
habari na watu walifurika Airport kumlaki
mwanadada Fezza kutoka Tanzania....

Dooh ebhana kumbe vitu hivi vinaweza vikawa
 na umakini zaidi,toka BBA hadi nje watu wameamua
kuendeleza kile kitu moyo umetaka,Basi
sawa Kila kheri kwa Oneal na Fezza.

Mwanadada Fezza akiwa amevalia nywele za
 Bandia zenye rangi ya chungwa akiwa
amezongwa na waandishi wa habari wa nchini Botswana.

Watu mbalimbali na waandishi wa habari wakiwa
wamesimama wakisubiri Fezza kuwasili....

Oneal mbele akiwa amemshika mkono Fezza
 kuongozana nae kwenye gari...