Jumatatu, 12 Agosti 2013

PICHA ZA SHEKHE PONDA AKIWA HOSPITALI YA MUHIMBILI




Sheik Ponda alipigwa risasi jana baada ya kumaliza kuhutubia mkutano wa hadhara Morogoro. Kuna taarifa zilizo sambaa kwamba hajapigwa risasi si za kweli, Matukio blog ilipata fursa yakumuona Ponda akiwa anaingizwa MOI leo mchana nakuona hali yake.Ponda yuko katika hali mbaya na hapa ni wakati anaingizwa chumba cha matibabu