PICHA  ZA SHEKHE PONDA AKIWA HOSPITALI YA MUHIMBILI
Sheik Ponda alipigwa risasi jana baada 
ya kumaliza kuhutubia mkutano wa hadhara Morogoro. Kuna taarifa zilizo 
sambaa kwamba hajapigwa risasi si za kweli, Matukio blog ilipata fursa 
yakumuona Ponda akiwa anaingizwa MOI leo mchana nakuona hali yake.Ponda 
yuko katika hali mbaya na hapa ni wakati anaingizwa chumba cha matibabu